Siha Njema
Watalaam wasisitiza uwekezaji wa utafiti wa DNA barani Afrika
- Autor: Vários
- Narrador: Vários
- Editora: Podcast
- Duração: 0:09:58
- Mais informações
Informações:
Sinopse
Utafiti unaoangazia vinasaba katika ukanda wa Afrika unaweza kuwa jawabu kwa ubainishaji potovu,gharama ya juu ya matibabu na usugu wa vimelea . Kwa kuanzia , Mashirika matatu ya Afrika ya kitafiti yametangaza mkataba wa dola milioni 3 nukta 5 ambao utawekezwa kwenye utafiti huu wa DNA barani . Mashirika haya yakiwa ni Biolinx Africa, YTO Foundation yenye makao Ivory Coast na Nextgen Molecular Lab nchini Kenya.